fbpx

Ahukumiwa jela miaka 30 kwa kubaka mtoto wake

Mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Tizo Mwita (38) kwa jina maarufu Fadhili Mtete mkazi wa…

Geita: Adaiwa kuuawa kwa kupigwa na polisi

Wananchi wa Kata ya Mganza wilayani Chato mkoani Geita, wamelazimika kuchoma kituo cha Polisi kwenye Kata…

Mwanafunzi afariki dunia kwa ajali Mwanza

Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya sekondari Nyamilama, Fadhili Maghembe amefariki dunia huku wanafunzi…

Fisi ajeruhi watu 10 na kuua Ng’ombe mmoja

Watu 10 katika Kijiji cha Nyamalimbe Kata ya Nyamalimbe Wilayani Geita Mkoani Geita, wamejeruhiwa na Mnyama…

Urusi inamshikilia mwandishi wa Marekani kwa ujasusi

Raia wa Marekani na mwandishi wa Wall Street Journal Evan Gershkovich amezuiliwa nchini Urusi kwa tuhuma…

Mwanamke ahukumiwa kwa kuiba mtoto mchanga

Mahakama ya wilaya ya Sengerema imemhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani Happiness William mwenye umri wa…

Kivuko cha Ufilipino chawaka moto na kuua watu 12

Gavana wa mkoa wa kisiwa cha Basilan nchini ufilipino  Jim Hataman amesema kivuko kilichokuwa kimebeba takribani…

Waasi wa ELN waua wanajeshi tisa wa Colombia

Shambulio la kundi la waasi la nchini Colombia linalojulikana kama National Liberation Army (ELN) limeripotiwa kuwaua…

Mtalii wa Urusi afukuzwa Indonesia baada ya kuvua nguo mlimani

Mwanaume mmoja raia wa Urusi anatarajia kurudishwa kwao kutoka Indonesia baada ya kuvua nguo zote akiwa…

Viungo vya albino vyaibiwa makaburini Msumbiji

Wezi wa makaburini wamechukua sehemu ya miili ya marehemu albino magharibi mwa Msumbiji baada ya kuchimba…

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights