fbpx

Rais William Ruto amuonya Raila juu ya maandamano

Rais wa Kenya William Ruto amemuonya Raila Odinga dhidi ya kufanya maandamano kinyume cha sheria yatakayosababisha uharibifu wa maisha ya watu na mali pamoja  shughuli za biashara nchini Kenya.

Katika kujibu vitisho vya Odinga na viongozi wengine wa upinzani kuongoza maandamano ya nchi nzima wiki ijayo, Rais Ruto ameongeza kuwa  Kenya ni nchi inayoongozwa kwa sheria na hakuna aliye juu ya sheria.

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights