fbpx

Rais Samia kuongoza mkutano wa chakula na kilimo

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanznia Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza mkutano wa maandalizi ya mkutano wa Afrika wa masuala ya chakula na Kilimo (AGRF) utakaofanyika Septemba 5 hadi 8 Mwaka huu.

Mkutano wa maandalizi ya mkutano huo mkubwa unafanyikia jijini Dar es Salaam ukijumuisha viongozi mbalimbali wa Mataifa ya Afrika hasa sekta za Kilimo na Chakula

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights