fbpx

Nigeria kufanya sensa ya kwanza baada ya miaka 17

Nigeria sasa itafanya sensa yake ya kwanza katika kipindi cha miaka 17 mwezi Mei badala ya mwisho wa Machi waziri wa habari alisema Jumatano, akitaja kupangwa upya kwa uchaguzi wa ugavana kwa uchelewesho huo.

Sensa katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika inapelekea kusahihisha taarifa kuhusu idadi kamili ya watu na ukubwa wa makabila tofauti.

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights