fbpx

Mwanaume afariki ndani ya nyumba baada ya kuichoma moto

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Hamis Pius mwenye umri wa miaka 41 mkazi wa Nyigamba jijini Mbeya amefariki dunia kwa kuungua moto baada ya kumwaga mafuta ya petrol kuzunguka nyumba yake na kisha kuiunguza akiwa amelala ndani na mkewe.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya ACP. Benjamin Kuzaga akielezea tukio hilo
  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights