fbpx

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani

maadhimisho ya siku ya wanawake duniani

Leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, mkoa wa Shinyanga maadhimisho hayo kimkoa yamefanyika wilaya ya Kishapu katika viwanja vya  shule ya sekondari  Mwamashele yakipokelewa na mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya kishapu  Joseph Mkude kwa niaba ya  Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Christina Mdeme

Vikundi mbalimbali vya wanawake wajasiriamali wamejitokeza kuonesha bidhaa zao jambo FM itaendelea kukufahamisha matukio yote yanayoendelea kwenye maadhimisho hayo.

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights