fbpx

Urusi inamshikilia mwandishi wa Marekani kwa ujasusi

Raia wa Marekani na mwandishi wa Wall Street Journal Evan Gershkovich amezuiliwa nchini Urusi kwa tuhuma…

Mwanamke ahukumiwa kwa kuiba mtoto mchanga

Mahakama ya wilaya ya Sengerema imemhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani Happiness William mwenye umri wa…

Kivuko cha Ufilipino chawaka moto na kuua watu 12

Gavana wa mkoa wa kisiwa cha Basilan nchini ufilipino  Jim Hataman amesema kivuko kilichokuwa kimebeba takribani…

Waasi wa ELN waua wanajeshi tisa wa Colombia

Shambulio la kundi la waasi la nchini Colombia linalojulikana kama National Liberation Army (ELN) limeripotiwa kuwaua…

Mtalii wa Urusi afukuzwa Indonesia baada ya kuvua nguo mlimani

Mwanaume mmoja raia wa Urusi anatarajia kurudishwa kwao kutoka Indonesia baada ya kuvua nguo zote akiwa…

Viungo vya albino vyaibiwa makaburini Msumbiji

Wezi wa makaburini wamechukua sehemu ya miili ya marehemu albino magharibi mwa Msumbiji baada ya kuchimba…

Wahamiaji 39 wameuawa kwa moto ofisi za uhamiaji Mexico

Takriban watu 39 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa katika moto uliozuka kituo cha wahamiaji katika…

Mpanda: Watu wawili wahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kuua

Mahakama kuu kanda ya Sumbawanga iliyoketi Mpanda mkoani Katavi imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu…

Mafuriko yaua watu 14 Somalia

Watu 14 wakiwemo watatu wa familia moja wamefariki kutokana na mafuriko yaliyotokea katika mji wa Baardhere…

Marekani: Mwanafunzi aua watu sita kwa risasi shuleni

Watu sita wakiwemo watoto watatu na wafanyakazi watatu  wameuawa kwa kupigwa risasi na mwanafunzi wa zamani…

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights