fbpx

Ashikiliwa na polisi kwa kumbaka mwanae

Mkazi wa mtaa wa Mpechi, mkoani Njombe, Menrad Mbigi, mwenye umri wa  miaka 28, anashikiliwa na jeshi la polisi, mkoani humo, kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kike wa kufikia mwenye umri wa miaka 8, tukio ambalo limehusishwa na imani za kishirikina.

Kamanda wa polisi mkoani Njombe, Hamis Issa, amesema kuwa , uchunguzi juu ya tukio hilo unaendelea.

  • https://cast3.asurahosting.com/proxy/jambocom/stream

Verified by MonsterInsights